iqna

IQNA

qurani tukufu
Harakati za Qur'ani
IQNA - Maelfu ya wafungwa katika jela za Jamhuri ya Kiislamu Iran wamefaulu kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu au juzuu kadhaa wakiwa wanatumikia vifungo vyao gerezani, mkuu wa Shirika la Magereza la Iran alisema.
Habari ID: 3478738    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/26

Nidhamu Katika Qur'ani/ 5
IQNA - Sababu kuu ya hisia nyingi zisizohitajika ni ukosefu wa kujistahi au ile hisia ya kujiheshimu.
Habari ID: 3478728    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani katika jimbo la Sabah nchini Malaysia yamezinduliwa katika mji wa Kota Kinabalu Jumatano
Habari ID: 3478727    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Nidhamu Katika Qur'ani /4
IQNA - Kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani Tukufu, tabia ya mtu ya kutetea kwa ukali maoni na matamanio yake inaondolewa na uwezo wake wa kudhibiti hisia zake unaboreka.
Habari ID: 3478721    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/23

Sanaa katika Uislamu
IQNA - Mwandishi kaligrafia nchini Iran ambaye ni mtaalamu wa uandishi wa maandishi ya kidini, hususan aya za Qur'ani Tukufu, amebainisha wasiwasi kuhusu kupungua kwa idadi ya watu wanaojifunza kaligrafia ya Qur'ani.
Habari ID: 3478710    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/21

Nidhamu Katika Qur'ani / 3
IQNA – Baadhi ya mafundisho ya Qur'ani kama vile yale kuhusu kudhibi Mwenyezi Mungu mambo yote na matukio yanayotokea maishani hutusaidia kudhibiti na kurekebisha hisia na hisia zetu.
Habari ID: 3478708    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/20

Mafundisho ya Kiislamu
IQNA - Kituo cha Darul Iftaa cha Misri kimetoa Fatwa milioni 1.5 mshauri wa Mufti Mkuu wa nchi hiyo alisema.
Habari ID: 3478693    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/17

Nidhamu katika Qur'ani /2
IQNA – Mafundisho ya Qur’ani Tukufu yanatupa miongozo na kutoa kielelezo cha nidhamu ya kihisia, kutusaidia kuzuia kuathiriwa na mihemko katika hali tofauti.
Habari ID: 3478692    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/16

IQNA - Qari mashuhuri wa Iran Seyed Mohammad Hosseinipour hivi karibuni alisoma aya za Surah At-Taghabun katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478690    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/16

Ahadi ya Kweli
IQNA - Msururu wa vikao vha kusoma  Qur'ani Tukufu ambavyo vimepewa jina la "Ahadi ya Kweli" vinafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3478689    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/16

Nidhamu katika Qur'ani /1
IQNA – Qur’ani Tukufu, pamoja na kuangazia mpangilio katika uumbaji wa ulimwengu wa asili, inawaalika wanadamu kwenye mfululizo wa maadili, tabia na maelekezo ambayo huleta utaratibu na nidhamu.
Habari ID: 3478684    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/14

Mashindano ya Qur'ani Algeria
IQNA - Rais wa Algeria ameamuru kuongezwa kwa zawadi za fedha zinazotolewa kwa washindi wa mashindano ya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3478682    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/14

Qur'ani Tukufu
IQNA - Mtafiti wa Guinea-Bissau anasema mbinu ya kusimulia hadithi imetumika katika Qur'an na inaweza kueneza mafundisho ya Kiislamu kwa ufanisi.
Habari ID: 3478680    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13

Muiraqi
IQNA - Norway imekataa ombi la hifadhi la Salwan Momika, mkimbizi kutoka Iraq ambaye aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu mara kadhaa nchini Uswidi katika miezi iliyopita. Ripoti za awali zilieleza kuwa Momika alifariki akiwa Norway lakini imebainika kuwa ripoti hizo hazikuwa sahihi.
Habari ID: 3478679    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13

Qiraa ya Qur'ani
IQNA – Sheikh-ul-Qurra (mbora wa maqari) wa Bangladesh ni miongoni mwa maqari ambao qiraa yake imevutia wengi katika cha Televisheni cha Mahfel.
Habari ID: 3478678    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478665    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Harakati za Qur'ani
IQNA –Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq imeandaa mkusanyiko wa qiraa ya Qur'ani Tukufu nchini Senegal kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478664    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Qur'ani na Palestina
IQNA - Programu khitma ya Qur'ani zilifanyika Jumatatu katika shule zaidi ya 20,000 nchini Iran na nchi kadhaa duaniani kuwakumbuka mashahidi mabarobaro Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478660    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478657    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 28 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478655    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/08